EVELYN BAASA NDIYE REDD'S MISS TANZANIA PHOTOGENIC 2014
Miss Tanzania Photogenic 2014, Evelyn Baasa. Warembo waliofanikiwa kuingia hatua ya tano bora ya Redd’s Miss Tanzania Photogenic 2014, wakiwa katika picha ya pamoja na mshindi wa taji hilo, Evelyn...
View ArticleVijana wahamasishwa kutembelea vituo vya afya kujua afya zao
Msaniiwa Muziki wa Taarabu na mpiga Gitaa maarufu nchini Bw. Thabit Abdul akizungumza na vijana wa jijini la Dar es Salaam wakati wa hafla ya Jamvi la Vijana ambalo uendeshwa mara moja kila mwezi na...
View ArticleSIMBA 1 POLISI MOROGORO 1
Wachezaji wa Simba wakishangilia bao lililofungwa na Emmanuel Okwi (katikati) wakati wa mchezo wa Ligi Kuu ya Soka Tanzania Bara uliofanyika leo kwenye Uwanja wa Taifa. (Picha na Francis Dande) Okwi...
View ArticleMASHINDANO YA SKAUTI NGAZI YA TAIFA YAFUNGWA RASMI MKOANI MOROGORO
Kamishina Mkuu Msaidizi Programu ya Vijana wa Chama cha Skauti Tanzania (TSA), Mary Anyitike (kushoto), akimvisha Nishani ya Skauti, Safi Shabani kiongozi wa Skauti kutoka Shule ya Sekondari Lugoba...
View ArticleZIARA YA KINANA LUSHOTO
Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana na Katibu wa Itikadi na Uenezi wa chama hicho, Nape Nnauye wakiwapungia wananchi walipokuwa wakiingia kwenye mkutano wa hadhara katika Kata ya Mlola wakati wa...
View ArticleTIMU YA OFISI YA MAKAMU WA RAIS YAELEKEA MOROGORO KATIKA MICHEZO YA SHIMIWI
Mkurugenzi wa Utawala na Usimamizi wa Rasiliamali Watu wa Ofisi ya Makamu wa Rais, Bw. D. Mndeme (kushoto) akizungumza na wanamichezo wa Ofisi yake wakati akiwaaga na kukabidhiwa vifaa vya michezo leo...
View ArticleOmbaomba Dodoma wadai; 'Ijumaa kwao ni Siku ya Mshahara (Payday)
Baadhi ya Ombaomba waliokutwa na Mwandishi wakiomba kwenye mitaa mkoani Dodoma.Na Bryceson Mathias, DodomaWAKATI Tatizo la Ombamba nchini likiwa Sugu na jitihada za kulitatua bado hazijafanikiwa;...
View ArticleMtoto Mlemavu awekwa ndani miaka 9
Mtoto, Daniel Julius Mushi (12), mlemavu asiyetembeaanayetunzwa ndani kwa miaka 9 bila kutoka nje tangu 2005. (Picha na Bryceson Mathias)Kushoto na Kulia ni Julius Mushin a Mkewe Ester Kwayu, Wazazi...
View ArticleJIHAN DIMACHK NDIYE REDD'S MISS TANZANIA TOP MODEL 2014
Mshindi wa taji la Redd’s Miss Tanzania Top Model 2014, Jihan Dimachk (katikati) akipozi kwa picha na mshindi wa pili Doreen Robert (wapili kulia), mshindi wa tatu Evelyn Baasa ambaye pia ni Miss...
View ArticleNBS YAWATAKA WADAU WA MAENDELEO KUTUMIA KANZA KATIKA KUTOA TAKWIMU ZA KILIMO
Na Mwandishi WetuOFISI ya Taifa ya Takwimu imewataka watunga Sera, taasisi, mashirika, na wadau mbalimbali wa maendeleo kuitumia Kanza (Data base), rasmi ya takwimu za Chakula na Kilimo iliyoanzishwa...
View ArticleYANGA YAANZA LIGI RASMI YAICHAPA TANZANIA PRISONS 2-1
Mshambuliaji wa Yanga, Andrey Coutinho akitafuta mbinu za kuwatoka wachezaji wa Tanzania Prisons, Lauvian Mpalile (kushoto) na Jeremia Juma wakati wa mchezo wa Ligi Kuu ya Soka Tanzania Bara...
View ArticleKUTOKA BUNGE MAALUM LA KATIBA
Wajumbe wa Bunge Maalum la Katiba, Kingunge Ngombale Mwiru (kushoto) na profesa Mark Mwandosya wakifuatilia mjadala bungeni mjini Dodoma Septemba 27, 2014. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)Mjumbe wa...
View ArticlePSPF YADHAMINI MASHINDANO YA SHIMIWI YANAYOENDELEA MKOANI MOROGORO KATIKA...
Baadhi ya watu wakiwa wanafuatilia mashindano hayo ya SHIMIWI yanayo endelea Mjini Morogoro katika uwanja wa Jamuhuri Baadhi ya wachezaji wa Timu ya Netball wakiwa wanajiandaa na Mchezo wao Afisa...
View ArticleHafla ya Chakula cha jioni cha kuchangia Mfuko wa Bonnah Education Trust Fund...
Mgeni Rasmi katika hafla ya Chakula cha jioni cha kuchangia Mfuko wa Bonnah Education Trust Fund,Mwenyekiti wa CCM Mkoawa Dar es Salaam,Ndg. Ramadhan Madabida akitoa hotuba yake kabla ya kuanza...
View ArticleTAASISI YA VYOMBO VYA HABARI KUSINI MWA AFRIKA(MISA-TAN) YAADHIMISHA SIKU YA...
Mkurugenzi wa Misa-Tanzania-Media Institute of Southern Africa (Taasisi ya vyombo vya habari Kusini mwa Afrika) Bwana Simon Berege (kushoto) akiwakaribisha wageni waalikwa na waandishi wa habari...
View ArticleZIARA YA KINANA JIMBO LA MLALO
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akiwasalimu wakazi wa kijiji cha Kwekangaga ikiwa siku ya pili ya ziara yake katika wilaya Lushoto ambapo alishiriki ujenzi wa ofisi ya tawi la CCM. Katibu...
View ArticleTanzania yaendelea kunufaika na uhusiano mwema uliopo baina yake na Taifa la...
Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu –Uwekezaji na Uwezeshaji Dkk. Mary Nagu akizungumza na waandishi wa Habari wakati wa hafla ya kuadhimisha miaka 65 tangu kuanzishwa Jamhuri ya Watu wa China jana...
View ArticleKweingoma waahidi uhondo wa ngoma ya selo tamasha la Handeni Kwetu
Na Mwandishi Wetu, HANDENI KIKUNDI cha ngoma cha selo kilichopo katika kijiji cha Kweingoma, wilayani Handeni, mkoani Tanga, kimesema kimepania vikali Desemba 13 mwaka huu kufanya balaa katika tamasha...
View ArticleMSAMA AWAPIGA JEKI KKKT SEGEREA
Mkurugenzi wa Kampuni ya Msama Promotions, Alex Msama akizungumza katika tamasha la Uimbaji na Uchangiaji wa Ujenzi wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT), Usharika wa Segerea jijini Dar...
View Article