Quantcast
Channel: HABARI MSETO BLOG
Viewing all articles
Browse latest Browse all 19659

Article 11

$
0
0
BENKI YA CRDB YASHEREHEKEA SIKU YA FAMILIA
Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya CRDB Dk. Charles Kimei akizungumza wakati wa sherehe ya Siku ya Familia iliyofanyika Kunduchi Hoteli jijini Dar es Salaama na kuwashirikisha wafanyakazi wa Benki hiyo pamoja na familia zao. Kulia ni Mkurugenzi wa Rasirimali Watu wa Benki ya CRDB, Dorah Ngaliga.
Mkurugenzi wa Rasirimali Watu wa Benki ya CRDB, Dorah Ngaliga akizungumza wakati wa hafla hiyo.
Nahodha wa timu ya Fahari Huduma, Shaban Badi akipokea kombe kutoka kwa Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya CRDB Dk. Charles Kimeia wakati wa sherehe ya Siku ya Familia iliyofanyika Kunduchi Hoteli jijini Dar es Salaam. Katikati ni Mkurugenzi wa Rasirimali Watu wa Benki ya CRDB, Dorah Ngaliga.
Washindi wa mpira wa wavu wakipokea zawadi ya kombe.
Furaha ya ushindi.
Mshindi wa kucheza muziki, Messi Dyama akipokea zawadi pamoja na fedha sh. 100,000 kutoka kwa Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya CRDB, Dk. Charles Kimei.
Wanamuziki wa Skylight band wakiongozwa na Meneja wa bendi hiyo, Aneth Kushala akiimba wakati wa sherehe hiyo.
Watu wengi walijitokeza.
Watoto wakicheza katika bwawa la kuogelea.
Watoto wakiogelea.
Baadhi ya Maofisa wa Benki ya CRDB wakiwa katika hafla ya kusherekea Siku ya Familia.

Viewing all articles
Browse latest Browse all 19659

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>