Diwani wa Kata ya Kaloleni, Emanuel Kessy (katikati), juzi akizindua Ukumbi wa Kisasa wa Starehe wenye hadhi ya Kimataifa Shivaz uliopo mkoani Arusha. Kulia ni Mkurugenzi ukumbi huo, Ansi Mmasi. (Picha na Grace Macha).
Diwani wa Kata ya Kaloleni, Emanuel Kessy (kushoto), akizungumza wakati wa uzinduzi wa Ukumbi wa Kisasa wa Starehe wenye hadhi ya Kimataifa Shivaz uliopo jijini Arusha. (Picha na Grace Macha).