Quantcast
Channel: HABARI MSETO BLOG
Viewing all articles
Browse latest Browse all 19659

Article 17

$
0
0
MAHAFALI YA TISA CHUO CHA UTALII CHA GRACE COLLEGE
 Wahitimu katika fani ya Uhaziri na usimamizi wa Hoteli katika Chuo cha Grace College kilichopo katika eneo la Forest ya zamani  wakiwa katika maandamo kuelekea ukumbini katika mahafari ya tisa katika chuo hicho ambapo wahitimu zaidi ya miamoja walitukikiwa vyeti na Mkurugenzi wa Kampuni ya Access Computer Limited  Samwel Mtella. (Picha Kenneth Ngelesi)
 Nyambo kulia mhitimu katika fani ya upisha katika chuo cha Grace College akivishwa taji la viungo vya pilau na mama yake mzazi katika mahafari ya tisa tangu kuanzishwa kwa chuo hicho. (Picha na Kenneth Ngeles)

Viewing all articles
Browse latest Browse all 19659

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>