Rais Dk. Jakaya Mrisho Kikwete akiongoza kikao cha baraza la Mawaziri kilichofanyika ikulu jijini Da es Salaam leo.Wa pili kulia ni Makamu wa Rais Dk. Mohamed Gharib Bilal na watu kulia ni Katibu mkuu kiongozi Balozi Ombeni Sefue. (Picha na Freddy Maro)