Mkurugenzi wa Huduma za Mawasiliano wa TCRA, Dk. Raynold Mfungahema,akionyeshwa na Rajabu Husein ujumbe kwenye simu yake wakati alipokuwa akitoa mada ya haki na wajibu wa watumiaji wa huduma za mawasiliano katika semina ya watumiaji wa huduma za Mawasiliano (wadau) iliyowashirikisha wakazi wa Wilaya ya Bagamoyo Mkoani Pwani. Semina hiyo iliandaliwa na Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania Kanda ya Mashariki.![]()
Mkurugenzi wa Huduma za Mawasiliano wa TCRA, Dk.Raynold Mfungahema,akimsikiliza mmoja wa wanasemina waliohudhuria katika semina ya watumiaji wa huduma za Mawasiliano (wadau) iliyowalenga wawakilishi ,jumuiya mbalimbali za vijiji na vitongoji vyaWilaya ya Bagamoyo Mkoani Pwani.Semina hiyo iliandaliwa na Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania Kanda ya Mashariki.
Mkuu wa Wilaya ya Bagamoyo Ahmedi Kipozi akisalimiana na Ramadhan Said wakati wa uzinduzi rasmi wa semina ya wadau wa huduma za Mawasiliano iliyowalenga wawakilishi wa jumuiya mbalimbali za vijiji na vitongoji vya Wilaya ya Bagamoyo Mkoani Pwani.semina hiyo ilialiandaliwa na Mamlaka ya Mawasiliano Tanzanizi(TCRA ) Kanda ya Mashariki.
Meneja wa Kanda ya Mashariki wa Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA), Mhandisi Oscar Mwanjesa (kulia), akimkabidhi zawadi ya King’amuzi cha Digtek, Ofisa Tarafa Chalinze, Mary Koha baada ya kujibu swali kwa ufasaha wakati wa semina ya watumiaji wa huduma za mawasiliano iliyofanyika katika chuo cha sanaa cha Bagamoyo kwa kuwashilikisha wawakilishi wa jumuiya mbalimbali za vijiji na vitongoji vya Wilaya hiyo. ![]()
Mkuu wa Wilaya ya Bagamoyo Ahamed Kibozi (kushoto) akifuatilia mada zilizokuwa zikitolewa.
Mkurugenzi wa Huduma za Mawasiliano Dk.Raynold Mfungahema akitoa mada ya Haki na wajibu wa watumiaji wa huduma za mawasiliano.![]()
Baadhi ya washiriki wa semina hiyo.
Afisa wa Idara ya Posta wa Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania TCRA, Cecilia Sylvester, akitoa mada juu ya mfumo mpya wa anuani za posta wakati wa semina ya wadau wa huduma za Mawasiliano.
Mhasibu wa Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA)Patrice Lumumba akitao zawadi ya simu kwa mmoja wa wasshiriki wa semina ya wadau wa huduma za Mawasiliano iliyowalenga wawakilishi wa jumuiya mbalimbali za vijiji na vitongoji vya Wilaya ya Bagamoyo Mkoani Pwani.aliyoandaliwa na Mamlaka ya Mawasiliano Tanzanizi(TCRA ) Kanda ya Mashariki hivi karibuni.
Kaimu Mkurugenzi wa Utangazaji wa Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) Fredrick Ntobi akitoa mada inayohusiana na utangazaji.