Mgombea urais wa Tanzania kupitia CCM, Dk John Magufuli akiwapungia mkono wananchi alipowasili kwenye mkutano wa kampeni katika Jimbo lake la Chato, wilayani Chato, Geita lmuda huu. PICHA ZOTE NA KAMANDA RICHARD MWAIKENDA.
Mke wa Mgombea urais wa Tanzania kupitia CCM, Janeth Magufuli alipowasili yeye na mumewe kwenye mkutano w3a kampeni mjini Chato muda mfupi uliopita.
Dk Magufuli akiwapungia mkono wananchi mjini Chato muda
Sehemu ya umati wa wananchi katika mkutano huo.