Quantcast
Channel: HABARI MSETO BLOG
Viewing all articles
Browse latest Browse all 19659

MKUTANO WA HALMASHAURI KUU YA CCM WAANZA WAENDELEA MJINI DODOMA

$
0
0
Wajumbe wa Mkutano Mkuu wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa wakiwa katika Ukumbi wa White House Makao Makuu ya CCM mjini Dodoma.(Picha kwa Hisani ya Michuzi Media)
Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Rais Jakaya Kikwete akifungua Mkutano Mkuu wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa unaoendelea hivi sasa kwenye Ukumbi wa White House Makao Makuu ya CCM mjini Dodoma.

Viewing all articles
Browse latest Browse all 19659

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>