Quantcast
Viewing all articles
Browse latest Browse all 19659

MTI MKUBWA WAANGUKA MCHANA WA LEO KATIKA ENEO LA SEA VIEW

 Mti mkubwa ukiwa umeangukia magari katika eneo la Sea View Upanga jijini Dar es Salaam leo mchana kwa mujibu wa mashuhuda wa tukio hilo wamsema kuwa kuaanguka kwa mti huo kumesababishwa na ukongwe wake. (Picha kwa hisani ya Michuzi Blog)
Sehemu ya magari yaliyoangukiwa na mti huo.
Image may be NSFW.
Clik here to view.
Mti huo ukiwa umeangukia ukuta wa nyumba.
 Baadhi ya wamiliki wa magari wakijadiliana baada ya kutokea kwa tukio hilo mchana huu.
Image may be NSFW.
Clik here to view.
Hapo kwenye hivyo viti kuna watu walikuwa wamekaa lakini wamenusurika.
Hawa ndio waliokuwa wamekaa katika viti hivyo.

Viewing all articles
Browse latest Browse all 19659

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>