Quantcast
Viewing all articles
Browse latest Browse all 19659

KAMATI YA AKINA ZITTO YAKABIDHIWA RIPOTI YA CAG

Naibu Spika wa Bunge, Job Ndugai (kulia), akiwakabidhi Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya Hesabu za Serikali (PAC),  Zitto Kabwe na Makamu Mwenyekiti wa Kamati hiyo, Deo Filikunjombe ripoti ya Uchunguzi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali kuhusu kashfa ya kuchota fedha zaidi ya sh. bilioni 200 katika akaunti ya Tegeta Escrow zilizohifadhiwa katika Benki Kuu ya Tanzania (BOT).

Viewing all articles
Browse latest Browse all 19659

Trending Articles