






Baadhi ya wafanya kazi wa NHIF na wadaktari wakiwa katika picha ya pamoja
Baadhi ya madaktari bingwa na maafisa wa NHIF waliokwenda mkoani Mara kwa ajili ya zoezi hilo, kutoka kushoto ni Dr. Rogatus (Daktari Bingwa wa watoto) toka hospitali ya Bugando, Dr Albert( bingwa wa usingizi) toka MOI, Dr Tiba (bingwa wa magonjwa ya moyo) toka hospital ya taifa ya muhimbili, Sabina Komba (Afisa uhusiano)toka NHIF makao makuu, sadick Adamu (logistics) toka NHIF makao makuu, Dr Rumanyika( bingwa wa magonjwa ya kinamama) toka hospital ya Bugando.