Mwenyekiti wa Kamati ya Usajili ya Klabu ya Simba, Hans Pope (kulia), akiwa na mshambuliaji raia wa Uganda, Emmanuel Okwi aliyejiunga na klabu hiyo akitokea katika timu ya Yanga baada ya kuvunjwa mkataba wake. Hata hivyo Yanga imemshtaki Okwi kwa Shirikisho la Soka Tanzania.
↧