Quantcast
Channel: HABARI MSETO BLOG
Viewing all articles
Browse latest Browse all 19659

Article 3

$
0
0
VIPAJI MABORESHO STARS KUTAJWA JUMATATU
Mchakato wa ung’amuzi wa vipaji kwa ajili ya maboresho ya Taifa Stars ulioshirikisha wang’amuzi wa vipaji (scouts) zaidi ya 40 umekamilika leo (Machi 15 mwaka huu) na majina ya wachezaji yatatangazwa Jumatatu (Machi 17 mwaka huu)

Wachezaji hao watafanyiwa vipimo vya afya (medical check up), kabla ya kuingia kambini Tukuyu mkoani Mbeya. Wachezaji watakaoingia kambini ni wale watakaokuwa wamefaulu vipimo.


Wang’amuzi vipaji waliokuwa Lushoto ni Abdul Mingange, Ayoub Nyenzi, Boniface Pawasa, Charles Mkwassa, Dan Korosso, Dk. Mshindo Msolla, Edward Hiza, Elly Mzozo, Hafidh Badru, Hamimu Mawazo, John Simkoko, Jonas Tiboroha, Juma Mgunda na Juma Mwambusi.

Viewing all articles
Browse latest Browse all 19659

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>