Quantcast
Channel: HABARI MSETO BLOG
Viewing all articles
Browse latest Browse all 19659

Article 12

$
0
0
CLOUDS MEDIA YASHINDWA KUTAKA KATIKA UWANJA WAKE WA NYUMBANI YAFUNGWA 2-1 NA  GEBI PRESHA
 Mchezaji wa timu ya Clouds Media Group, Said Tully akiwania mpira kuku akizongwa na mchezaji wa ya timu ya Gebi Presha ya Magomeni (kushoto) katika mchezo maalumu wa kusherehekea miaka 14 ya Clouds Media Group uliofanyika katika Uwanja wa Tanganyika Packers jijini Dar es Salaam. Gebi Presha ilishinda 2-1.


Kocha wa timu ya Clouds Media, Alex Lwambano akitoa maelekezo kwa wachezaji wa timu yake wakati wa mchezo huo.
Kocha wa Gebi Presha akiwapa mbinu mpya wachezaji wake.
Mashabiki wa timu ya Gebi Presha wakichagiza ushindi wa timu yao.

Mshambuliaji wa timu ya Clouds Media, Shaffih Dauda akiipangua ngome ya Gabi Presha.

Viewing all articles
Browse latest Browse all 19659

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>