Quantcast
Channel: HABARI MSETO BLOG
Viewing all articles
Browse latest Browse all 19659

Article 1

$
0
0
STENDI YA MABASI YA SEGERA YALALAMIKIWA
Licha ya Serikali kutumia pesa nyingi za kodi ya wananchi kujenga stendi hii ya Segera wilayani Handeni mkoani Tanga lakini askari wa usalama barabarani walioko eneo hilo wameshindwa kusimamia sheria na sasa mabasi hayo yamekuwa yakipakia na kushusha abiria barabarani jambo ambalo ni kinyume na pia linachangia Halmashauri hiyo kukosa  mapato. (Picha na Berensi Alikadi)

Viewing all articles
Browse latest Browse all 19659

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>