Arafat Haji achaguliwa kuwa Makamu wa Rais wa klabu ya Yanga SC baada ya kupata kura 545 dhidi ya kura 234 alizopata mpinzani wake, Suma Mwaitenda.
Waliopiga kura walikuwa 785 na kura zilizoharibika zilikuwa ni sita (6).
Waliopiga kura walikuwa 785 na kura zilizoharibika zilikuwa ni sita (6).
