Mkuu wa Wilaya ya Igunga Elibariki Kingu (kushoto), akizungumza na vijana wa kikundi cha Isunda Songambele katika kijiji cha Bukama wilayanihumo kabla ya kuhutubia mkutano wa hadhara kuwahamasisha wananchikujiunga na mfuko wa huduma ya afya ya jamii(CHF), kikundi cha IsundaSongambele kinajishughulisha na kilimo. (Picha na Abdalah Khamis)
DC Kingu akikagua shamba la pamba la mmoja wa wanakikundi cha Isunda Songambele katika Kijiji cha Bukama.